Web

TANZIA: Balozi Juma Mwapachu Afariki Dunia

TANZIA: Balozi Juma Mwapachu Afariki Dunia


Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Juma Mwapachu amefariki dunia leo Machi 28, 2025.

Enzi za uhai wake Balozi Juma Mwapachu pia aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini, katika mashirika ya umma, sekta binafsi na kwenye asasi za kiraia nchini Tanzania, Kikanda na Kimataifa.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad