Web

Tarehe 8 Kuna Mechi ya Simba na Yanga Halafu Kuna Pacome na Simba

Tarehe 8 Kuna Mechi ya Simba na Yanga Halafu Kuna Pacome na Simba


Ukweli ni kwamba tarehe 8 kuna mechi ya Simba na Yanga halafu kuna mechi ya Pacome na Simba✍️

This dude was born to play football✍️

Kibongo bongo huyu ni complete player,ana uwezo wa kuficha mali,ana uwezo Wa kukokota mali kwenye msitu “Ball manipulator” anaweza ku-create nafasi kwa washambuliaji,pia anaweza kufunga mwenyewe.

Wewe kama ni Fadlu lazima ufanye vyote👇

1. Kuandaa tumu nzuri ya kupambana na Yanga.
2. Kuandaa mpango mkakati wa kumzuia Pacome Zizuu.

Hapo Fadlu akisahau kimoja wapo siku itakuwa chungu kwake✍️

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad