Web

Tarehe 8 ni Mpanzu Dhidi ya Watu watatu, Yanga Wawe Makini

Tarehe 8 ni Mpanzu Dhidi ya Watu watatu, Yanga Wawe Makini


Ukihitaji ku-speed Up mchezo basi Mpanzu yuko pale,huyu kijana ni mlipuko kwenye hii ligi,aki-turn na kukupa mgongo umekwisha✍️

Tarehe 8 kazi ya kumzuia haitakiwi kuwa ya Patrick Mwenda peke yake unless mnamtakia lawama kijana wa watu✍️

Mpanzu anatakiwa kukabwa na Rightback,Right DM na Right-Centerback.

Ä°le mikato Yake ya wembe (Razor Sharp Movements) kutokea pembeni kuingia ndani haizuiliki na mtu mmoja.

Tarehe 8 ni Mpanzu dhidi ya watu watatu

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad