Yanga Jana waliitwa kwenye kikao na Waziri wa michezo na Bodi ya ligi na msimamo wa Yanga ulibaki pale pale kuwa wanahitaji alama tatu na magoli matatu,huku wakitamka wazi mbele ya waziri kuwa hawana imani na bodi ya ligi.
Yanga wameendelea kukaza
Yanga Jana waliitwa kwenye kikao na Waziri wa michezo na Bodi ya ligi na msimamo wa Yanga ulibaki pale pale kuwa wanahitaji alama tatu na magoli matatu,huku wakitamka wazi mbele ya waziri kuwa hawana imani na bodi ya ligi.
Yanga wameendelea kukaza