Leo saa 1:15 usiku Yanga watakuwa Benjamini Mkapa ili kucheza mechi ya Derby.
kwa mujibu wa kanunu za mashindano zikipita dakika 30 bila Simba kutokea Yanga watapewa alama tatu na goli tatu.
Yanga wameamua kuendelea na maandalizi na kesho watakuwa Mkapa Stadium kukipiga na Simba✍️