Web

Ajali ya ‘Ambulance’ na Toyo Yaua Watu Saba

 

Ajali ya ‘Ambulance’ na Toyo Yaua Watu Saba

Ajali ya ‘ambulance’ na toyo yaua saba

Watu saba wamefariki dunia, huku wengine 15 wakijeruhiwa baada ya ajali kutokea ikihusisha gari la kubeba wagonjwa (ambulance) na toyo huko Luganga, Mafinga mkoani Iringa.


Akizungumza kutokea eneo la ajali alipokuwa akitembelea majeruhi, Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Dk Linda Salekwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo akisema taarifa zinaonesha watu waliokuwa katika toyo hiyo walikuwa wanakwenda shambani.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad