Web

BREAKING: Mwishoni mwa msimu huu Aziz Ki anatarajia kuondoka Yanga

BREAKING: Mwishoni mwa msimu huu Aziz Ki anatarajia kuondoka Yanga


BREAKING: Mwishoni mwa msimu huu Aziz Ki anatarajia kuondoka Yanga kujiunga na Wydad Casablanca ya Morocco.

Aziz amewambia viongozi wa Yanga kwamba anahitaji kucheza FIFA Club World Cup 2025,ambayo inatarajia kuanza June 14 kule Marekani.

Tayari Yanga wanalijua hilo ndio maana wamefungua mazungumzo na Fei Toto.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad