Web

Mwili wa Mwigizaji Hawa Hussein Ibrahim ( Carina) Wawasili Nchini

Mwili wa Mwigizaji Hawa Hussein Ibrahim ( Carina) Wawasili Nchini


Mwili wa Mwigizaji Hawa Hussein Ibrahim ( Carina) umepokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ukitokea Nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu baada ya kwenda mwezi mmoja uliopita kutokana na matatizo ya tumbo.

Carina ambaye ni Mama wa Mtoto mmoja, alianza kuugua miaka tisa iliyopita na kufanyiwa upasuaji wa tumbo mara nane katika Hospitali tofauti Nchini Tanzania na sasa baada ya mwili wake kuwasili Dar es salaam, anatarajiwa kuzikwa siku ya kesho katika makaburi ya kisutu.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad