Web

Rais Donald Trump Kuhudhuria Mazishi ya Papa Francis

Rais Donald Trump Kuhudhuria Mazishi ya Papa Francis

Donald na Melania Trump watakuwa miongoni mwa wale watakaohudhuria mazishi ya Papa Francis huko Roma.

Rais wa Marekani amethibitisha hilo kupitia akaunti yake ya Truth Social.

Awali, Trump aliagiza bendera zote za Serikali kuu na za Majimbo zipeperushwe nusu mlingoti kwa heshima ya Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki Duniani.

“Alikuwa mtu mwema; alifanya kazi kwa bidii; aliupenda ulimwengu. Na ni heshima kufanya hivyo,” alisema.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad