Web

Simba Anakwenda Afrika Kusini na Mtaji wa 1 - 0

Simba Anakwenda Afrika Kusini na Mtaji wa 1 - 0


Wekundu wa Msimbazi, Simba Sc wameingiza mguu mmoja kwenye fainali ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar.

Simba Sc 🇹🇿 1-0 🇿🇦 Stellenbosch

⚽ 45+2’ Ahoua


Mchezo wa marudiano utakaopigwa Aprili 27, 2025 huko Afrika Kusini utaamua timu itakayokata tiketi ya fainali ya CAFCC 2025.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad