Web

Yanga Waalika Mashabiki Wake Kwa Mkapa Kuwashangilia Al Masry




Wananchi ama mashabiki wa Klabu ya Young Africans, wamealikwa na Digital Manager wao privaldihno kwaajili ya kuiunga mkono Al Masry kwenye mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika.

"Asanteni sana wazeee… mkija hapa tupo pamoja msijali. Hamtakuwa wapwekee". Anaandika Priva Abiud Shayo Digital Manager wa Klabu ya Young Africans.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad