Web

Yanga Yamfunga Stand United Bao 8, Yamfuata JKT Tanzania Nusu Fainali Kombe la CRDB

Yanga Yamfunga Stand United Bao 8, Yamfuata JKT Tanzania Nusu Fainali Kombe la CRDB


Wananchi, Young Africans Sc wameifuata JKT Tanzania kwenye nusu fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB (FA Cup) kufuatia ushindi mnono wa 8-1 dhidi ya Stand United katika dimba la KMC Complex kwenye mchezo wa robo fainali.


Yanga Sc 8-1 Stand United

⚽ 16’ Aziz Ki

⚽ 20’ Kibabage

⚽ 32’ Chama

⚽ 39’ Chama

⚽ 51’ Aziz Ki

⚽ 60’ Aziz Ki

⚽ 63’ Aziz Ki

⚽ 87’ Musonda

⚽ 49’ Msenda

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad