Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Rais wa Congo Amzawadia Gari Aina ya Jeep Shabiki Lumumba wa AFCON
HABARI ZA MICHEZO

Rais wa Congo Amzawadia Gari Aina ya Jeep Shabiki Lumumba wa AFCON

January 12, 2026January 12, 2026 ajirayako

Shabiki wa timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Michel Kuka Mboladinga maarufu Lumumba, amezawadiwa gari aina ya Jeep na Rais wa nchi hiyo, Felix Tshisekedi, kwa kuitangaza nchi hiyo kwenye michuano ya AFCON 2025.

Lumumba alikuwa akisimama na kunyanyua mkono juu muda wote wa michezo ya timu hiyo, akiiga sanamu maarufu ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Patrice Lumumba.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

BREAKING; Yanga Wamtambulisha Rasmi Allan Okello

January 12, 2026January 12, 2026 ajirayako
HABARI ZA MICHEZO

Mkubwa Fella” Msije Mkang’ang’ania Jeneza Langu Kunipeleka Leaders”

January 12, 2026January 12, 2026 ajirayako

Post navigation

Previous: Msichana Achorwa Alama Mwilini Asubuhi Bila Kujua Ilikotoka Dakika Alizozitaja Zawafanya Wengi Kuogopa
Next: Mtoto Aanza Kuongea Usiku Pekee Ndani ya Wiki Moja Familia Yagundua Siri Nzito ya Zamani

Popular Posts

  • Mwijaku afunguka makubwa ugonjwa wa Mkubwa Fella! Amuomba Mwana FA kumsaidia Meneja wa Diamond

  • Shabiki wa Congo Anayesimama Kama Sanamu Kuzawadiwa Milioni 40

  • Alichokisema Ali Kamwe Baada ya Simba Kufungwa na Azam

  • Wachezaji Nigeria Watia Mgomo Kisa Kutolipwa Bonasi za Ushindi

  • Lulu Diva Afunguka Kumzunguka Wema Sepetu Kwa Whozu

  • Ahmed Ally na Barbara Gonzalez Kugombea Uenyekiti Simba

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.