Depu Atupia Hat Trick Yanga Wakiifuata TMA Stars 16 Bora

Depu Atupia Hat Trick Yanga Wakiifuata TMA Stars 16 Bora
Depu Atupia Hat Trick Yanga Wakiifuata TMA Stars 16 Bora

Laurindo Aurélio ‘Depu’ amefunga magoli matatu ‘hat-trick’ huku Wananchi wakitinga hatua ya 16 bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB (FA Cup) kufuatia ushindi wa 7-1 dhidi ya Polisi Tanzania katika dimba la KMC Complex, Mwenge.
Wananchi watachuana na TMA Stars FC kwenye hatua inayofuata.
FT: Yanga Sc 7-1 Polisi TZ
⚽ 01′ Mudathir
⚽ 22′ Depu
⚽ 36′ Depu
⚽ 38′ Majagi (og)
⚽ 59′ Depu
⚽ 76′ Buba
⚽ 84′ Abdulnasir
⚽ 81′ Asinki (og)

Related Posts