Jina langu ni Rehema. Mimi ni mwanamke wa miaka 31 kutoka Mwanza, na kwa muda mrefu nilikuwa naamini kwamba mwanaume niliyekuwa naye ndiye angekuwa mume wangu. Tulikaa kwenye uhusiano kwa karibu miaka minne. Si unajua yale mapenzi ya mtu unaingia nayo kwa moyo wote. Unapanga naye maisha, mnazungumzia watoto, mnazungumzia nyumba, hata majina ya watoto mnayachagua kabla mambo yenyewe yatimie. Ndivyo ilivyokuwa kwangu.
Mwanzoni kabisa, huyo mwanaume alikuwa kila kitu nilichokuwa natamani. Alikuwa mpole, alikuwa anajua…SOMA ZAIDI
