Nature

Klabu ya Azam Fc Imetinga Raundi ya Pili ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)

Klabu ya Azam Fc imetinga raundi ya pili ya kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) kufuatia ushindi wa jumla wa 4-0 dhidi ya EL Merriekh Bentiu ya Sudan Kusini Waoka mikate hao wakishinda 2-0 ugenini kabla ya kumaliza shughuli kwa ushindi wa 2-0 nyumbani Azam Complex, Chamazi.

Azam Fc watachuana na KMKM Fc ya Zanzibar kwenye raundi ya pili, KMKM ikifikia hatua hiyo kufuatia ushindi wa jumla wa 4-2, ushindi wa 2-1 ugenini kabla ya kushinda 2-1 nyumbani.

FT: Azam FC πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 2-0 πŸ‡ΈπŸ‡Έ EL Merriekh Bentiu (Agg. 4-0)
⚽ 16’ Yoro
⚽ 90+3’ Saadun

Related Posts