
Baada ya Ukaguzi wa awali uliofanyika na CAF imeelezwa kuwa ingawa baadhi ya kazi za ukarabati na uboreshaji tayari zimeanza katika viwanja vya nchi, kiasi cha kazi kinachohitajika kufanyika bado ni kikubwa, imeshauriwa kasi ya utendaji kuongezwa ili kundana na ratiba ya maandalizi.
