Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • CAF Wanyanyua Mikono kwa Ibrahim Bacca
HABARI ZA MICHEZO

CAF Wanyanyua Mikono kwa Ibrahim Bacca

December 15, 2025December 15, 2025 ajirayako

Ibrahim Bacca ameingia kwenye macho ya wengi mara baada ya CAF kumtaja kuwa mchezaji wa Tanzania anayefaa kutazamwa zaidi kutokana na kiwango chake cha juu katika mechi za kufuzu AFCON 2025.

Sio Bacca peke yake Hussein pia ameshikilia nafasi yake kikamilifu na wote wamecheza dakika zote 90 katika mechi zote 6 za kufuzu Hii inathibitisha jinsi walivyo nguzo muhimu ndani ya kikosi cha Taifa.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Geofrey Mwambe Anatuhumiwa Kutaka Kumuua Mkuu wa Polisi

December 15, 2025December 15, 2025 ajirayako
HABARI ZA MICHEZO

Yanga Yaingia Vitani na Simba Kumgombania Mchezaji Luis Miquissone

December 15, 2025December 15, 2025 ajirayako

Post navigation

Previous: Yanga Yaingia Vitani na Simba Kumgombania Mchezaji Luis Miquissone
Next: Geofrey Mwambe Anatuhumiwa Kutaka Kumuua Mkuu wa Polisi

Popular Posts

  • Nay wa Mitego Afunguka “Watanzania Wameamua Kutuonesha Kuwa Wao Ndio Mabosi Wetu Wasanii”

  • Niffer awachana wanaomwambia aache kupost apumzike kwanza, aandika haya

  • Ali Kamwe “Jasusi Kanipa za Ndani Yule Kocha Msaidizi Anaenda Kufukuzwa Kazi”

  • Suma Mnazaleti Amlipua Vibaya Wema Sepetu kugombana na Gen Z “umeamua kujimaliza, Hutapata deal”

  • Sugu Amchana Majizzo “Kutetea Wasanii Waliowageuka Wananchi huo ni Upuuzi”

  • John Heche “Chadema Tunataka Ianzishwe Serikali ya Mpira Tanzania”

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.