Nakumbuka Siku ile Kama Jana. Nilikuwa Nimekaa Kwenye Kiti Cha Hospitali, Nikisubiri Daktari Anipe Majibu Ya Vipimo. ALIPOTOKA NA FIII MIKONONI, NILIONA SURA YAKE IMETULIA LAKINI MACHO YAKE YALIKUWA NA HUZUNI. Akanikalia Karibu na kusema Maneno Yaliyonigonga Kama Radi: “Figo Zako Ziko Katika Hali Mbaya Sana, Zinaweza Kushindwa Kazi Muda Wowote.” Nilihisi Pumzi imenikata. Miguu Yangu Ilitetemeka na Machozi Yakaanza Kunitoka Bila Hata Kujizuia. Nilijua Maisha Yangu Yalikuwa Yanayumba, Na Ghafla Nilihisi Kama Nilikuwa Nimehukumiwa Kifo.
Kwa Miezi Mingi Nilikuwa Nikihisi Uchovu Wa Kila Mara, Tumbo Kujaa Maji na Miguu Kuvimba. Nilikuwa Nikipata Maumivu Makali Ya Kiuno Na Hata Wakati Mwingine Kushindwa Kukojoa Vizuri. Nilidhani ni Mambo Madogo Tu, Labda Uchovu wa Kazi au Labda Chakula Kibaya. Sikujua Hali Hiyo Ilikuwa ishara ya Figo Zangu Kushindwa Kazi Taratibu.
Nilipoanza Safari ya Hospitali, Nilipitia Vipimo Vingi, na Kila Mara Majibu Yalizidi Kuwa Mabaya. Nilijaribu Dawa Nilizoandiwa lakini Hazikusaidia Sana. Nilihisi Mwili Wangu Ukizidi Kulegea, Na Hofu Ya Kifo Ilinifanya Nisiwe Na Amani.
Familia Yangu Walikuwa Wakinina Nikizidi Kudhoofika Kila Siku. WATOTO WANGU WALINIuliza Maswali Ambayo Sikujua Kuyajibu: “Baba, Utaenda Wapi? Utapona Lini?” Maneno Yao Yalichoma Moyo Wangu Kama Moto. Nilihisi Kama niliwaangusha kwa sababu sikuwa na nguvu ya kucheza nao tena au hata kuwasaidiadia anonye Masomo Yao. Wakatine Mwingine Nililala Nikijiuliza, “Hivi nitawaacha Wakiwa Wadogo Hivi?” Mawazo Hayo Yalikuwa Mzigo Mzito. Endelea kusoma zaidi hapa

