Nature

Droo ya CAF Ligi ya Mabingwa na Shirikisho Kufanyika Leo Dar….

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) linajiandaa kufanya droo ya raundi ya awali ya ligi ya mabingwa na Kombe la Shirikisho kwa Msimu wa 2025/2026.

Tukio Hilo Litafanyika katika Mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salam .Kwa mujibu wa tovuti ya Qatari ya WinWin, Hafla hiyo Imepangwa kufanyika
Agosti 09 Saa 8 Mchana kwa Saa za Tanzania.

Yanga na Simba zitaiwakilisha Tanzania katika Ligi ya Mabingwa huku Azam FC na Singida Black Stars wakiwakilisha Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho.

Related Posts