Klabu ya Simba imefanikiwa kumuuza nyota wake kiungo Mshambuliaji wa klabu hiyo Kibu Denis kwenda katika klabu ya @alnasser.ly baada ya taratibu zote za uhamisho kukamilika.
Kibu anaenda kuungana na nyota wenzake waliyowahi kukipiga katika klabu hiyo ambao ni Steven Mukwala pamija na kiungo Fabrice Ngoma.
