Nature
Ellie Mpanzu Aigomea SIMBA Kuingia Kambini, Kisa Mkasa....

Issue ya Mpanzu Kutopokea Simu za Simba ni Propaganda, Wanatudanganya

Issue ya Mpanzu kutopokea Simu za Simba ni Propaganda,Mpanzu leo atafika Misri na Simba watapost picha zake za mazoezi muda wowote.

Mpanzu ni mali ya Simba na ameongezewa mshahara kuelekea msimu ujao.

Yanga hawamchukui Mpanzu coz nafasi za wachezaji wa kigeni zimejaa.

Hii ni propaganda ambayo imesukwa ili kutengeneza Tension,kisha badae klabu itaachi picha zake akiwa mazoezini.

Mpanzu ni Simba na Simu anapokea😄

Nasikia mwenye kitengo chake cha habari toka jana anatafuta jinsi ya kuzima utambulisho wa Zimbwe pale Yanga,hivyo leo kaamuwa kuwatumia watu wake wa karibu kusambaza Propaganda ya Mpanzu kutopokea Simu ili wana-Simba waingiwe na Hofu na Shahuku ya kutaka kujua Kibisawala yuko wapi na siku ambayo Zimbwe atatambulishwa basi picha za Kibisawala zipositiwe kuzima utambulisho wa Left-back😄

Ukitaka kujua hulo chunguza taarifa ya Mpanzu kutopokea Simu imeanzia wapi utaelewa mchongo mzima😄

Anzisha tatizo kisha litatue mwenyewe uonekane umetumia nguvu na gharama kubwa kufanikiwa😄

Ila wahuni tumesutukia mapema na kuja kuwajuza watu kuwa Mpanzu yuko njiani to Misri na Simu anapokea kitu ambacho kimeharibi mchongo wote😄

Hans Rafael

Related Posts