Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA SIASA
  • January Makamba Apigwa Chini Uteuzi Ubunge CCM, 6 Wengine Wateuliwa
January Makamba Apigwa Chini Uteuzi Ubunge CCM, 6 Wengine Wateuliwa
HABARI ZA SIASA Political News

January Makamba Apigwa Chini Uteuzi Ubunge CCM, 6 Wengine Wateuliwa

July 29, 2025July 29, 2025 Udaku Special

Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimewateua Wagombea sita kugombea Ubunge Jimbo la Bumbuli Mkoani Tanga akiwemo Hidaya Kilima, Zahoro Rashid Hanuna, Eng. Ramadhan Singano, Rashid Salimu, Silas Joram na John Aloyce huku Mbunge wa sasa Jimbo hilo January Makamba jina lake likiachwa.

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ametangaza majina hayo leo July 29,2025.

Uteuzi CCM

Related Posts

HABARI ZA SIASA

Rais wa Mpito Aapishwa Venezueala, Maduro Akikana Mashitaka Marekani

January 6, 2026January 6, 2026 Udaku Special
HABARI ZA SIASA

Kamala Harris Amkosoa Vikali Donald Trump Kumkamata Rais wa Venezuela

January 4, 2026January 4, 2026 ajirayako

Post navigation

Previous: Luhaga Mpina Apigwa Chini Kugombea Ubunge Kisesa, 7 Wengine Wateuliwa
Next: Mwijaku Atemwa Uteuzi CCM Jimbo la Mvomero, 8 Wengine Wateuliwa

Popular Posts

  • Taifa Stars Baada ya Kufuzu hatua ya 16 Bora ya AFCON itavuna Bilioni 1.9

  • Chadema Wakusanya Milioni 14 Ndani ya Masaa 24 Kwa Ajili ya Tundu Lissu

  • Kouassi Yao Hapakaliki Yanga, Hati Hati Kukatwa

  • Deal la Yanga Kumsajili Allan Okello Lashindikana, Sababu Hizi Hapa

  • Uongozi wa mchezaji Aziz Ki umetoa ufafanuzi Rasmi Kuhusu mtoto Wake Kufariki…

  • Mwakinyo Akubali Mpambano na Kiduku, Ahaidi Kumtibu Macho

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.