Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA SIASA
  • Luhaga Mpina Apigwa Chini Kugombea Ubunge Kisesa, 7 Wengine Wateuliwa
HABARI ZA SIASA Political News

Luhaga Mpina Apigwa Chini Kugombea Ubunge Kisesa, 7 Wengine Wateuliwa

July 29, 2025July 29, 2025 Udaku Special

Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimewateua Wagombea saba kugombea Ubunge Jimbo la Kisesa Mkoani Simiyu akiwemo Lusingi Sitta, Silinde Muachile, Joel Ngowi, Madili Sai, Godfrey Mbuga, Elius Joseph na Gambamala Michael ambapo Mbunge wa sasa wa Jimbo hilo Luhaga Mpina jina lake halijarudi.

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ametangaza majina hayo leo July 29,2025.

Luhanga Mpina atemwa Uteuzi CCM, Uteuzi CCM

Related Posts

HABARI ZA SIASA

Trump Atangaza Ushindi Dhidi ya Iran, Asema Marekani Yadhibiti Anga ya Iran

March 26, 2026 Udaku Special
HABARI ZA SIASA

Jenerali Muhoozi “Uganda Ipo Tayari Kuingia Vitani Kuisaidia Israel”

March 26, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Mtangazaji Salim Kikeke Ateuliwa Kugombea Ubunge CCM Moshi Vijijini na Wengine 6
Next: January Makamba Apigwa Chini Uteuzi Ubunge CCM, 6 Wengine Wateuliwa

Popular Posts

  • Mbinu 5 za Kumfanya Mwanaume Ageuke Kuwa Sumaku Kwa Wanawake

  • Mbinu Nzuri Ya Kutongoza Kwa Wale Wanaoanza Kujifunza

  • Wastara Amlipua Vibaya Dudu Baya Baada ya Kumuita “Ombaomba” Amwambia haya mazito “uweke na namba”

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Basata Wamfungia Miaka Mitatu Mwanamuziki Halima wa Kibao Kata

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.