Wakazi wa mtaa mmoja wa Rongai walibaki midomo wazi baada ya binti mwenye umri wa miaka 23 kufichua hadharani kuwa kwa zaidi ya miezi saba alikuwa katika uhusiano wa kimapenzi na watu wawili ambao hawakuwa wageni bali ni baba na mwana wa familia moja. Kisa hicho cha ajabu kimekuwa gumzo kubwa katika mitandao ya kijamii na katika vijiwe vya kahawa, huku wengi wakishangaa jinsi siri hiyo ilivyoweza kufichwa kwa muda mrefu.
Kwa mujibu wa watu wanaomfahamu binti huyo, alihamia Rongai mwaka jana baada ya kupata kazi katika duka la….SOMA ZAIDI
