Morocco Yaiondosha Senegal na Kuifuata Madagascar Fainali CHAN

Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani, Senegal wametupwa nje ya michuano hiyo kufuatia kipigo cha penalti 5-3 dhidi ya Morocco katika katika dimba la Mandela, Kampala.

Simba wa milima ya Atlas, Morocco wametinga fainali ya CHAN2024 ambapo watachuana na Madagascar iliyofikia hatua hiyo baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Sudan. Simba wa Teranga watachuana na Sudan kuwania nafasi ya mshindi wa tatu.

FT: Morocco 🇲🇦 1-1 🇸🇳 Senegal (P 5-3)
⚽ 23’ Bougrine
⚽ 16’ Samb

MATUTA: 🇲🇦 5-3 🇸🇳
🇲🇦Morocco ✅✅✅✅✅
🇸🇳Senegal ❌✅✅✅

FAINALI
Madagascar 🇲🇬🆚 🇲🇦 Morocco

MSHINDI WA TATU
Sudan 🇸🇩 🆚 🇸🇳 Senegal

Related Posts