Nature
Mtangazaji Salim Kikeke Ateuliwa Kugombea Ubunge Moshi Vijijini na Wengine 6

Mtangazaji Salim Kikeke Ateuliwa Kugombea Ubunge CCM Moshi Vijijini na Wengine 6

Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimewateua Wagombea saba kugombea Ubunge Jimbo la Moshi Vijijini akiwemo Prof, Patrick Ndakidemi, Moris Makoi, Victor Tesha, Deogratius Mushi, Felista Njau, Salim Kikeke na Wiliad Kitali.

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ametangaza majina hayo leo July 29,2025.

Related Posts