Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli Ateuliwa

Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli Ateuliwa

Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimemteua Mtoto wa Rais wa awamu ya tano Hayati John Pombe Magufuli Magufuli, Jessica Magufuli ( @jesca.jmagufuli ) na Wagombea wengine 30 kugombea Ubunge Viti Maalum kupitia kundi la UVCCM

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ametangaza majina hayo leo July 29,2025.

Related Posts