Mwamuzi Mkongo Aliyefungua AFCON 2025 Apewa Kuchezesha Fainali Leo


Jean-Jacques Ndala Mwamuzi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndiye atakayechesesha fainali ya AFCON 2025 kati ya Senegal na Morocco.

Ndala pia alichezesha mechi ya ufunguzi kati ya Morocco na Comoros.

Set ya waamuzi ni pamoja na

  • Mwamuzi: ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Jean Ndala
  • Wasaidizi :๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Guylain Ngila & ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Mwanya Mobilize
  • Mwamuzi wa nne: ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Abongile Tom
  • VAR: ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ฒ Styven Moyo

Ndala amechezesha mechi nyingi za kimataifa, ikiwemo mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia na mashindano ya CAF Champions League. Hii itakuwa fainali yake ya nne ya AFCON

Related Posts