Jean-Jacques Ndala Mwamuzi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndiye atakayechesesha fainali ya AFCON 2025 kati ya Senegal na Morocco.
Ndala pia alichezesha mechi ya ufunguzi kati ya Morocco na Comoros.
Set ya waamuzi ni pamoja na
- Mwamuzi: π¨π© Jean Ndala
- Wasaidizi :π¨π© Guylain Ngila & π¨π© Mwanya Mobilize
- Mwamuzi wa nne: πΏπ¦ Abongile Tom
- VAR: π°π² Styven Moyo
Ndala amechezesha mechi nyingi za kimataifa, ikiwemo mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia na mashindano ya CAF Champions League. Hii itakuwa fainali yake ya nne ya AFCON
