Mwijaku Achukua Fomu ya Kuwania Ubunge Jimbo Hili….

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mtangazaji/Mwigizaji Burton Mwemba maarufu kama Mwijaku amejiunga rasmi kwenye mchakato wa kuwania Ubunge kwa kuchukua fomu ya kugombea Jimbo la Mvomero Mkoani Morogoro kupitia tiketi ya CCM.

Related Posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *