Jina langu ni Saidi. Mimi ni mkazi wa Mombasa na kwa muda mrefu maisha yangu yalikuwa ya kupambana kila siku ili kupata chochote cha kula. Nilikuwa na ndoto nyingi kama vijana wengine, lakini ukweli ni kwamba maisha yangu yalikuwa yamejaa changamoto. Nilikuwa nimejaribu biashara kadhaa ndogo ndogo lakini kila mara nilijikuta nikirudi pale pale nilipoanzia.
Nilikuwa mtu ambaye aliamka mapema kila siku akiwa na matumaini…SOMA ZAIDI
