Nature
Washindi Kura za Maoni

Orodha ya Wabunge Walioshinda kura za maoni CCM

Matokeo haya ni ya kura za maoni ndani ya CCM (internal primaries), si uteuzi rasmi wa chama — uteuzi rasmi unategemea vikao vya chama viitendavyo baadaye

Wagombea walioongoza watapitia mchakato wa uteuzi kupitia Kamati Kuu ya chama kabla ya kukubaliwa kama wagombea rasmi wa uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025.

JimboMshindiKura Zilizopatikana
Geita MjiniChacha Wambura2,145 vs Constantine Kanyasu: 2,097
BusandaDk Jafar Seif5,286
Same MasharikiAnne Kilango3,029 vs Miryam Mjema: 1,763
Same MagharibiDk Mathayo David5,093 vs Fatuma Kange: 875
Bukoba VijijiniDk Jasson Rweikiza6,465 vs Faris Buruhan: 4,619
NyamaganaStanslaus Mabula3,711 vs John Nzilanyingi: 1,811
Morogoro MjiniAbdulAziz Abood4,511 vs Ally Simba: 1,886
Tabora MjiniShabani Mruthu6,612 vs Hawa Mwaifunga: 326
KinondoniAbbas Tarimba2,646 vs Idd Azzan: 484
KaweGeofrey Timothy3,657 vs Maria Sebastian: 775
Shinyanga MjiniPatrobas Katambi2,920 vs Steven Masele: 874
Iringa MjiniFadhili Ngajilo1,899 vs Moses Ambindwile: 1,523
KikwajuniHamad Masauni790 vs Said Ali Karume: 50
Fuad Shaib Ahmada286 vs Nassor Salim Ali: 192
PanganiJumaa Aweso3,806 – alipata asilimia 100 ya kura
BukombeDk Dotto Biteko~7,456 kura hali (asilimia 99.8)—mgombea pekee
Arusha MjiniPaul Makonda9,056
Songea MjiniDk Damas Ndumbaro3,391 vs Hemed Challe: 2,839
Moshi MjiniPriscus Tarimo1,539 vs Ibrahim Shayo: 1,495
MissenyiFlorente Kyombo2,979 vs Projestus Tegamaisho: 1,355
Musoma MjiniMgore Miraji2,255 vs Juma Mokili: 1,543
Bukoba MjiniJohnston Mtasingwa1,408 vs Alex Denis: 804
MakambakoDaniel Chongolo6,151 vs Deo Sanga: 470
RomboProf. Adolf Mkenda5,125 vs Antony Mseke: 824
NgaraDotto Bahemu6,855 vs Stephen Kagaigai: 2,344
IlalaMussa Azzan Zungu2,485 vs Mendrad Mpangala: 139
NyasaJohn Nchimbi9,157 vs Stellah Manyanya: 548
SegereaBonna Kamoli4,510 vs Rajab Abdallah: 1,756
UkongaJerry Silaa2,332 vs Rajab Nyangasa: 624
VunjoEnock Koola1,999 vs Dk Charles Kimei: 861
MuhezaHamisi Mwinjuma (MwanaFA)9,030 vs Hamis Ayubu: 339
HaiSaashisha Mafuwe4,973 vs Fuya Kimbita: 557
Moshi VijijiniMoris Makoi2,148 vs Prof. Patrick Ndakidemi: 627
Kigoma MjiniKirumbe Ng’enda2,168 vs Clayton Revocatus: 2,080
Uyole / Mbeya MjiniDk Tulia Ackson (Uyole), Patrick Mwalunenge (Mbeya Mjini)Tulia: 4,830 vs wajumbe wengine; Mwalunenge: 3,360 vs Mabula Mahande: 1,133
Tanga MjiniUmmy Mwalimu5,750 vs Omar Ayoub: 4,146
Lindi MjiniMohamed Utali1,472 vs Hamida Abdalla: 876

-Mbunge wa Ubungo aliyemaliza muda wake, Prof. Kitila Alexander Mkumbo, ameibuka mshindi  Jimbo la Ubungo, akiongoza kwa kura 3,613 kati ya kura halali 4,992.

Jumaa Aweso, ameibuka mshindi kwa kishindo Jimbo la Pangani mkoani Tanga baada ya kupata kura zote za ndiyo katika kata zote zilizopiga kura.

Jesca David Kishoa ameibuka mshindi katika Jimbo la Iramba mkoani Singida.

-Mbunge aliyemaliza muda wake wa Jimbo la Itilima mkoani Simiyu, Njalu Silanga ameshinda baada ya kupata kura 8,285 akifuatiwa na Joseph Makongolo kura 1,822, Jeremiah Nkulukulu 694, na Emmanuel Subi kura 248.

-Mbunge anayetetea kiti chake katika Jimbo la Muheza, mkoani Tanga, Hamis Mwinjuma (MwanaFA), ameibuka kidedea kwa ushindi wa kishindo baada ya kupata kura 9,030, sawa na asilimia 91 ya kura zote halali.

-Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo Jimbo la Makambako Mkoani Njombe.

-Mhandisi wa TANROAD, Johnston Mtasingwa ameibuka mshindi kwa kupata kura 1,408 na kuwabwaga wenzake zaidi ya wanne waliokuwa walishiriki mchakato wa kumpata Mbunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Bukoba Mjini

Mhandisi Kija Ntemi ameibuka mshindi  jimbo jipya la Katoro wilayani Geita kwa kupata kura 2,134.

Jesca David Kishoa Jimbo la Iramba mkoani Singida.

Mohamed Mchengerwa jimbo la Rufiji
Abdulaziz Abood Jimbo la Morogoro Mjini
Joshua Nassari Ubunge jimbo la Arumeru Mashariki kwa kupata kura 6678 kati ya kura 9131 zilizopigwa huku John D Pallangyo aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo akiibuka kuwa mshindi wa pili kwa kupata kura 652

-Mary Daniel Jimbo la Serengeti, Mara.

-Aliyekuwa Mbunge wa Vijana Taifa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asia Halamga, ameibuka mshindi wa kura za maoni kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Hanang’ .

Related Posts