Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • Sports News
  • Simba Wapo Kwenye Hatari, Ahoua Hajitumi Ipasavyo – Saleh Jembe Afunguka
Sports News

Simba Wapo Kwenye Hatari, Ahoua Hajitumi Ipasavyo – Saleh Jembe Afunguka

September 30, 2025September 30, 2025 Udaku Special

Mchambuzi mahiri wa soka nchini, @Salehjembefacts, amesema kwamba mchezaji wa kimataifa wa Simba, Jean Charles Ahoua anaiangusha klabu yake na kama akiendelea hivi, anapaswa kuanzia benchi.

Saleh amesema alishawahi kumzungumzia mchezaji huyo siku za nyuma watu wakampinga lakini sasa inajidhihirisha wazi kwamba Ahoua hajitumi ipasavyo awapo uwanjani.

Related Posts

HABARI ZA SIASA Sports News

Taarifa Mpya Kutoka Bungeni Kuhusu Waziri Mkuu Mpya wa Tanzania

November 12, 2025November 12, 2025 ajirayako
Sports News

Huyu Hapa Golikipa Mwenye Mafanikio zaidi Tanzania

November 12, 2025November 12, 2025 ajirayako

Post navigation

Previous: Nilipoteza Wateja Wote Ila Hatua Niliyopiga Ilinirudishia Biashara
Next: UVCCM Yamvaa Rais wa TEC ‘Kauli Yake Inavunja Mshikamano’

Popular Posts

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Maalim Issa Mtabibu wa Nyota na Dawa za Asili

  • Msanii Huyu Maarufu Afariki Dunia

  • Picha Hii ya Mbongo Akiwa na Mrembo wa Nigeria Mechi ya Taifa Stars vs Nigeria yawa Gumzo Mtandaoni

  • Mbosso Ameharibu Kumtumia Bonge la Dada Kwenye Video ya Aviola

  • Wenye Makaburi Kurasini Waanza Kulipwa, Udanganyifu Watawala

  • Ilhan Omar: Msomali Jembe Anayemuumiza Kichwa Trump, Alivyokuwa Mkimbizi, Aliolewa na Kaka yake?

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.