Nature

Uzee Sio Shinda Zake, Yoweri Museveni Kuwania Tena Urais Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni atawania kuchaguliwa tena katika Uchaguzi wa Januari 2026.

Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 80 anatazamiwa kuchukua Fomu za uteuzi Jumamosi hii , akilenga kutetea nafasi yake kama Mwenyekiti wa Chama Tawala (NRM ) na kupeperusha bendera ya Chama hicho kwenye Uchaguzi ujao wa Mwakani.

Uchaguzi wa Januari 2026 utashuhudia Waganda wakimpigia kura Rais na Wabunge. Museveni ameiongoza Uganda tangu 1986.

Related Posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *