Kwa muda mrefu, nilihisi kuwa kila jitihada yangu kushinda tenda au kupata mradi mpya zilishindikana. Wenzangu na hata baadhi ya wakubwa waliniambia kuwa sina bahati ya biashara, na labda sijawahi kufaa katika sekta hii.
Nilijikuta nikikosa nguvu na kuanza kuamini maneno hayo. Kila nilipojaribu, majibu yaliokuwa hapana yalikuja. Kila fursa iliyokuwa ikionekana nzuri, ilipotea kwa sababu zisizoelezeka. Nilihisi kuchoka, kushindwa, na karibu kuachana na ndoto zangu. Soma zaidi hapa
