Wenyeji wa Michuano ya kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025 Wavutwa Shati

Wenyeji wa michuano ya kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025 wametoshana nguvu na Mali kwa sare ya 1-1 katika dimba la Prince Moulay Abdellah wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 69,500

FT: Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ 1-1 πŸ‡²πŸ‡± Mali
⚽ 45+5’ Diaz (P)
⚽ 64’ Sinayoko (P)

MSIMAMO KUNDI A (baada ya mechi mbili)

  1. πŸ‡²πŸ‡¦ Morocco 4pts (+2)
  2. πŸ‡²πŸ‡± Mali 2pts (0)
  3. πŸ‡ΏπŸ‡² Zambia 2pts (0)
  4. πŸ‡°πŸ‡² Comoros 1pt (-2)

Related Posts