Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • Simba News
  • Zungu Achaguliwa Rasmi Kuwa Spika wa Bunge la Tanzania
Political News Simba News

Zungu Achaguliwa Rasmi Kuwa Spika wa Bunge la Tanzania

November 11, 2025November 11, 2025 ajirayako

Aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge na Mbunge wa Ilala, Musa Azzan Zungu amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania.

Zungu ameshinda kwa kupata kura 378 kati ya kura zote 383 zilizopigwa Bungeni wakati wa Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Tatu wa Bunge leo Novemba 11, 2025.

Bunge la Tanzania, Spika wa Bunge

Related Posts

Trump afurahia kifo cha muongozaji wa Hollywood ambaye yeye na mkewe wameuliwa na mtoto wao
Political News

Trump afurahia kifo cha muongozaji wa Hollywood ambaye yeye na mkewe wameuliwa na mtoto wao

December 16, 2025December 16, 2025 Udaku Special
Political News

Rosa Ree Amchana Majizzo Kwa Uchungu Kuhusu Wasanii, “Taifa Linavuja Damu Lina Msiba Endelevu”

December 13, 2025December 13, 2025 ajirayako

Post navigation

Previous: Baada ya Ukame wa Magoli, Dube Aahidi Moto Mkali Yanga
Next: Kagame Akanusha Madai ya Kumuandaa Mtoto wake Kuwa Raisi

Popular Posts

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Maalim Issa Mtabibu wa Nyota na Dawa za Asili

  • Msanii Huyu Maarufu Afariki Dunia

  • Mbosso Ameharibu Kumtumia Bonge la Dada Kwenye Video ya Aviola

  • Picha Hii ya Mbongo Akiwa na Mrembo wa Nigeria Mechi ya Taifa Stars vs Nigeria yawa Gumzo Mtandaoni

  • Wenye Makaburi Kurasini Waanza Kulipwa, Udanganyifu Watawala

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Maalim Issa Mtabibu wa Nyota na Dawa za Asili

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.