Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA SIASA
  • Kesi ya Tundu Lissu Yapigwa Kalenda Mpaka February 11
HABARI ZA SIASA

Kesi ya Tundu Lissu Yapigwa Kalenda Mpaka February 11

February 9, 2026February 9, 2026 Udaku Special

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu (Kesi Na. 19605/2025), imeahirishwa katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam.
.
Ahirisho limetokana na upande wa Jamhuri kujibu pingamizi la mshitakiwa kuhusu Shahidi wa Siri, lililowasilishwa Novemba 2025.
.
Wakili wa Serikali, Nasorro Katuga, ameomba pingamizi hilo litupiliwe mbali kwa kukosa msingi. Mahakama itatoa uamuzi Jumatano, Februari 11, saa tatu asubuhi.

Related Posts

HABARI ZA SIASA

TRUMP agoma kumuomba radhi Papa Leo, Rais wa Iran na Waziri Mkuu wa Italia wamkosoa

April 14, 2026 Udaku Special
HABARI ZA SIASA

Papa Amjibu Vikali Trump Baada ya Kauli Zake, Asema Haogopi Vitisho

April 14, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Tundu Lissu “Nimekaa Gerezani Siku 307, Kesi Imesikilizwa Siku 14 tu”
Next: Paul Makonda “Tumepokea CV Nyingi Lakini Tumeamua Kubaki na Gamondi”

Popular Posts

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Abdalla mpemba Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Aina 10 ya Wanawake Wanaopendwa na Wanaume

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Pata Tiba za Asili Kwa Matatizo Yanayokusumbua, Mapenzi, Nguvu za Kiume na Kisukari

  • Ukweli Kuhusu Kuwa Adolf Hitler Alikuwa na Korodani Moja

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.