Dar City Yaanza BAL 2026 Kwa Kishindo, Yamchakaza Mwenyeji

Dar City Yaanza BAL 2026 Kwa Kishindo, Yamchakaza Mwenyeji
Dar City Yaanza BAL 2026 Kwa Kishindo, Yamchakaza Mwenyeji

Wawakilishi pekee wa Tanzania katika Michuano ya BAL 2026, (Basketball African League), Timu ya Mpira wa Kikapu ya Dar City wameibuka na ushindi mnono vikapu 100-70 dhidi ya wenyeji Johannesburh Giants, mchezo ambao umechezwa Pretoria Afrika Kusini.

Baada ya ushindi huo Dar City watarejea tena uwanjani kesho kuchezwa dhidi ya Nairobi City Thunder.

Related Posts