
Wawakilishi pekee wa Tanzania katika Michuano ya BAL 2026, (Basketball African League), Timu ya Mpira wa Kikapu ya Dar City wameibuka na ushindi mnono vikapu 100-70 dhidi ya wenyeji Johannesburh Giants, mchezo ambao umechezwa Pretoria Afrika Kusini.
Baada ya ushindi huo Dar City watarejea tena uwanjani kesho kuchezwa dhidi ya Nairobi City Thunder.
