
Timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ imemaliza nafasi ya tatu kwenye kundi B la michuano ya kirafiki ya FIFA Series 2026 kufuatia ushindi mnono wa 6-0 dhidi ya Macau katika dimba la Kigali Pele, Rwanda.
FT: Macau 🇲🇴 0-6 🇹🇿 Tanzania
⚽ 16’ Amâncio (og)
⚽ 26’ Mwamnyeto
⚽ 45+1’ Mudathir
⚽ 56’ Peter
⚽ 74’ Miroshi
⚽ 87’ Allarakhia
