Yanga Hawajakubali Kadi Nyekundu Kwa Aziz K, Kuchukua Maamuzi Haya Magumu

Yanga Hawajakubali Kadi Nyekundu Kwa Aziz K, Kuchukua Maamuzi Haya Magumu
Yanga Hawajakubali Kadi Nyekundu Kwa Aziz K, Kuchukua Maamuzi Haya Magumu

Yanga Hawajakubali Kadi Nyekundu Kwa Aziz K, Kuchukua Maamuzi Haya Magumu

Binafsi nilitaka nishangae kuona ya kwamba Yangasc wanakubali kirahisi kadi nyekundu ambayo ameonyeshwa Aziz Ki

Inasemekana Yangasc wako mbioni kupeleka barua ya kukata rufaa juu ya kadi nyekundu ambayo ameonyeshwa Aziz Ki kwenye mchezo dhidi ya Geita Gold

Yangasc awajakubali kuwa ile kadi nyekundu ulikuwa sahihi na kuona ya kwamba kuna haja ya wao kukata rufaa

Hiyo ndiyo Yanga Afrika sio mchezo ni timu ambayo kuiongoza lazima upate tabu

Simba walipata kadi tatu nyekundu mfululizo lakini wala ukusikia kelele leo Yangasc mchezaji mmoja tuuh tayari milio

Yangasc wanamtaka Aziz Ki kwenye Derby ya Kariakoo

Related Posts