Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo namba 10 wa Stade Malien,Raia wa Mali 🇲🇱 Lassine Kouma (21)✅
Simba walikuwa wa kwanza kuzungumza na Lassine Kouma,Kisha kinda huyo akampigia Simu Diarra ili kujua mazingira ya Tanzania,baada ya Diarra kujua kinda huyo hatari anaelekea Simba akamwambia Eng Heris aingilie haraka na mchakato wa kumsaini kuja Yanga ukaanza rasmi na Leo jioni kila kitu kimekamilika….Lassine Kouma Is now green & Yellow.
Lassine amezipiga Chini Simba,Azam na Al Hilal, Kinda huyo Amesaini Mkataba wa Miaka mitatu na Yanga Wanaotarajia Kumtambulisha Rasmi Muda wowote kuanzia sasa.
DEAL COMPLETED ✅

