Yanga wako kwenye mazungumzo ya moja kwa moja na kiungo mshambuliaji wa Vipers,Raia wa Uganda,Allan Okello (25).
Rais wa Yanga amezungumza moja kwa moja na mchezaji huyo ili kutia wino January hii… Muda wowote kuanzia sasa chochote kinaweza kutokea.
Yanga wako kwenye mazungumzo ya moja kwa moja na kiungo mshambuliaji wa Vipers,Raia wa Uganda,Allan Okello (25).
Rais wa Yanga amezungumza moja kwa moja na mchezaji huyo ili kutia wino January hii… Muda wowote kuanzia sasa chochote kinaweza kutokea.