Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • Ajali
  • Bondia Anthony Joshua Apata Ajali Mbaya Nigeria Wawili Wafariki
Ajali

Bondia Anthony Joshua Apata Ajali Mbaya Nigeria Wawili Wafariki

December 29, 2025December 29, 2025 ajirayako

Anthony Joshua, bondia maarufu wa Uingereza na Nigeria, amepata ajali ya barabarani katika eneo la Makun, jimbo la Ogun, nchini Nigeria. Ajali hiyo imetokea katika barabara kuu ya Lagos-Ibadan, ambapo gari lake aina ya Lexus Jeep liligongana na gari lingine ambalo lilikuwa limesimama.

Joshua alipata majeraha madogo, lakini watu wawili waliokuwa kwenye gari hilo wamefariki. Polisi ma mamlaka za afya wamethibitisha kuwa Joshua anaendelea vizuri.

Related Posts

Ajali

Ajali Mbaya Morogoro Yaua Watatu, Wengine Watano Wajeruhiwa

April 23, 2026 Udaku Special
Ajali

Moto Mkubwa Wateketeza Maduka Ubungo Mawasiliano

April 5, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Mchezaji Khalid Aucho Aingizwa Kwenye Dili la Okello Yanga
Next: Anthony Joshua Ana Bahati! Tazama Gari Alilokuwa Amepanda Lilivyoharibika Baada ya Ajali, 2 Wafariki

Popular Posts

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa Sheikh Sharif Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

  • Kundi Hili Ni Ngumu Kupata Maambukiz Ya Ukimwi

  • Kiwango cha Yanga leo dhidi ya Simba chazua gumzo, wachezaji hawa watajwa

  • Hawa Hapa Majambazi Wenye AKILI Nyingi zaidi Kuwahi Kutokea Duniani

  • Faida 10 za Kiafya kwa Mwanamke Kufika Kileleni…

  • Simba SC vs Yanga SC kiingilio hiki hapa Kariakoo Dabi

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.