HABARI ZA UDAKU Afungwa Miezi 6 kwa Tuhuma za Kuzusha Kuibiwa Nyeti Mkoani Geita April 11, 2026 Udaku Special Kijana Mmoja aliyefahamika kwa Jina la Abdulaziz Kabangila (31) Mkazi wa Mwatulole Mkoani Geita, aliyefikishwa Mahakama ya Mwanzo Nyankumu, amehukumiwa kwenda Jera kutumikia kifungo cha Miezi 6 kwa tuhuma za kuzusha kuibiwa Nyeti. Akizungumza na vyombo vya Habari Kamanda wa Poisi Mkoa wa Geita , SACP. Safia Jongo amesema Mnamo Aprili 6 , 2026 majira ya saa Moja usiku katika eneo la starehe Kijana Abdulaziz alizua taharuki kwa madai kuwa amepoteza nguvu au maumbile yake ya siri baada ya kuguswa Bega na Mlalamikaji Vedastus Magogo lakini haikuwa na ukweli Related Posts HABARI ZA UDAKU WCB Wamtolea uvivu Rayvanny! Wajibu kauli yake kwa Diamond “FIFA wamemfollow Diamond 2021” June 18, 2026 Udaku Special HABARI ZA UDAKU Dotto Magari amlipua vibaya Gachi kuvujisha sauti za Manara akimkatalia na kurudisha nauli yake June 17, 2026 Udaku Special