HABARI ZA UDAKU Afungwa Miezi 6 kwa Tuhuma za Kuzusha Kuibiwa Nyeti Mkoani Geita April 11, 2026 Udaku Special Kijana Mmoja aliyefahamika kwa Jina la Abdulaziz Kabangila (31) Mkazi wa Mwatulole Mkoani Geita, aliyefikishwa Mahakama ya Mwanzo Nyankumu, amehukumiwa kwenda Jera kutumikia kifungo cha Miezi 6 kwa tuhuma za kuzusha kuibiwa Nyeti. Akizungumza na vyombo vya Habari Kamanda wa Poisi Mkoa wa Geita , SACP. Safia Jongo amesema Mnamo Aprili 6 , 2026 majira ya saa Moja usiku katika eneo la starehe Kijana Abdulaziz alizua taharuki kwa madai kuwa amepoteza nguvu au maumbile yake ya siri baada ya kuguswa Bega na Mlalamikaji Vedastus Magogo lakini haikuwa na ukweli Related Posts HABARI ZA UDAKU Ajifungua watoto watano baada ya kutafuta kwa miaka 12 May 11, 2026 Udaku Special HABARI ZA MICHEZO HABARI ZA UDAKU Mtangazaji George Job Atangaza Kuachana na Wasafi FM, Aandika Haya May 9, 2026May 9, 2026 Udaku Special