Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Ahmed Ally Aomba Pambano la Ngumi Simba na Yanga
HABARI ZA MICHEZO

Ahmed Ally Aomba Pambano la Ngumi Simba na Yanga

December 11, 2025December 11, 2025 ajirayako

Meneja wa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram Leo Disemba 11 amesema ametafuta namna ya kuwanyamazisha midomo mashabiki wa Yanga na ameona ikiwezekana liandaliwe pambano la Ngumi au mechi ili wawapelekee motoo.

Aidha baada ya kuchapisha habari hiyo meneja wa habari na mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe amejibu hoja ya Ahmed Ally kwa kumuuliza ‘Hujachoka kugawa Utamu’? Aliuliza Kamwe.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Depu Atupia Hat Trick Yanga Wakiifuata TMA Stars 16 Bora

March 9, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Yanga Yapigwa Faini ya Milioni 5 Kariakoo Derby

March 7, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: TANZIA: Mbunge Jenista Mhagama Afariki Dunia
Next: Ali Kamwe Amjibu Ahmedy Ally Kuhusu Pambano la Ngumi la Yanga na Simba Aliloomba

Popular Posts

  • Mauaji ya Ayatollah Ali Khamenei alivyouliwa nyumbani! Kwanini hakutaka kujificha

  • Ripoti ya Ujasusi ya Marekani ilibaini Serikali ya IRAN Haiwezi Kuanguka hata ishambuliwe vipi!

  • Rais wa Ukraine Zelenskyy “Marekani Imeniomba Msaada Dhidi ya Drones za Iran”

  • Yanga Yalalamika Kuhusu Adhabu na Makosa ya Waamuzi Ligi Kuu

  • Miaka 7 Jela kwa Kutumia Vyeti FEKI vya Marehemu

  • KUMEKUCHA: IRAN Yaipiga Tena Bomu Dubai Leo….

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.