Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • Ajali
  • Bondia Anthony Joshua Apata Ajali Mbaya Nigeria Wawili Wafariki
Ajali

Bondia Anthony Joshua Apata Ajali Mbaya Nigeria Wawili Wafariki

December 29, 2025December 29, 2025 ajirayako

Anthony Joshua, bondia maarufu wa Uingereza na Nigeria, amepata ajali ya barabarani katika eneo la Makun, jimbo la Ogun, nchini Nigeria. Ajali hiyo imetokea katika barabara kuu ya Lagos-Ibadan, ambapo gari lake aina ya Lexus Jeep liligongana na gari lingine ambalo lilikuwa limesimama.

Joshua alipata majeraha madogo, lakini watu wawili waliokuwa kwenye gari hilo wamefariki. Polisi ma mamlaka za afya wamethibitisha kuwa Joshua anaendelea vizuri.

Related Posts

Ajali

Polisi Wadai Ajali ya Shilole Haijaripotiwa Kituo Chochote, Atakiwa Kutoa Ripoti

January 4, 2026January 4, 2026 ajirayako
Ajali

Shilole Apata Ajali Mbaya ya Gari Baada ya Kugonga Ngombe

January 3, 2026January 3, 2026 ajirayako

Post navigation

Previous: Mchezaji Khalid Aucho Aingizwa Kwenye Dili la Okello Yanga
Next: Anthony Joshua Ana Bahati! Tazama Gari Alilokuwa Amepanda Lilivyoharibika Baada ya Ajali, 2 Wafariki

Popular Posts

  • Simba Kusajili Wachezaji Watatu wa Kigeni

  • Dudu Baya Akinukisha Teana Baada ya Kuona Video ya Mkubwa Fela na Mkewe

  • Simba Wamsajili Beki wa Pembeni wa Yanga Nickson Kibabage

  • Polisi Wadaiwa Kuzingira Nyumba ya Bibi Wine Mgombea Urais Uganda

  • Arsène Wenger “Africa Nzima ilikuwa Dhidi ya Morocco”

  • BREAKING; CAF Yamsimamisha Kazi Kocha wa Senegal

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.