Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • Ajali
  • Bondia Anthony Joshua Apata Ajali Mbaya Nigeria Wawili Wafariki
Ajali

Bondia Anthony Joshua Apata Ajali Mbaya Nigeria Wawili Wafariki

December 29, 2025December 29, 2025 ajirayako

Anthony Joshua, bondia maarufu wa Uingereza na Nigeria, amepata ajali ya barabarani katika eneo la Makun, jimbo la Ogun, nchini Nigeria. Ajali hiyo imetokea katika barabara kuu ya Lagos-Ibadan, ambapo gari lake aina ya Lexus Jeep liligongana na gari lingine ambalo lilikuwa limesimama.

Joshua alipata majeraha madogo, lakini watu wawili waliokuwa kwenye gari hilo wamefariki. Polisi ma mamlaka za afya wamethibitisha kuwa Joshua anaendelea vizuri.

Related Posts

Ajali

Dala Dala Yawagonga Watu Wawili Akiwemo Askari wa Usalama Barabarani

February 11, 2026February 11, 2026 Udaku Special
Ajali

Polisi Wadai Ajali ya Shilole Haijaripotiwa Kituo Chochote, Atakiwa Kutoa Ripoti

January 4, 2026January 4, 2026 ajirayako

Post navigation

Previous: Mchezaji Khalid Aucho Aingizwa Kwenye Dili la Okello Yanga
Next: Anthony Joshua Ana Bahati! Tazama Gari Alilokuwa Amepanda Lilivyoharibika Baada ya Ajali, 2 Wafariki

Popular Posts

  • Hizi Hapa Hesabu Konki za Yanga Kufuzu Robo Fainali Klabu Bingwa

  • Mangungu Noma na Nusu Awajibu Wanaotaka Ajiuzulu

  • Uhasama Usioisha: Kwanini Donald Trump anamchukia sana Barack Obama

  • Kesi ya Tundu Lissu Yapigwa Kalenda Mpaka February 11

  • Tahadhari ya Mvua Kubwa Mikoa sita, Wananchi Watahadhirishwa Kukaa Kiaskari

  • Wekundu wa Msimbazi Simba Waumaliza Mwendo Ligi ya Mabingwa Afrika

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.