Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • BREAKING: FIFA Imewaondolea Singida Black Stars Adhabu ya Kutosajili
BREAKING: FIFA imewaondolea Singida Black Stars,adhabu ya kutosajili baada ya kulipa madeni yote ya wachazaji wao watatu. Awali Singida walikumbana na Rungu la FIFA baada ya kushindwa kulipa Stahiki za wachezaji wao watatu ambao ni Mbaraka Hamza,Amade Momade na Manu Bola. Ila kwa sasa Singida wako huru kusajili kwani kila kitu kimewekwa sawa🖐️
HABARI ZA MICHEZO Sports News

BREAKING: FIFA Imewaondolea Singida Black Stars Adhabu ya Kutosajili

July 30, 2025July 30, 2025 Udaku Special

BREAKING: FIFA imewaondolea Singida Black Stars,adhabu ya kutosajili baada ya kulipa madeni yote ya wachazaji wao watatu.

Awali Singida walikumbana na Rungu la FIFA baada ya kushindwa kulipa Stahiki za wachezaji wao watatu ambao ni Mbaraka Hamza,Amade Momade na Manu Bola.

Ila kwa sasa Singida wako huru kusajili kwani kila kitu kimewekwa sawa🖐️

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

CAF wazindua Ratiba ya Kufuzu Fainali za AFCON 2027

January 23, 2026January 23, 2026 ajirayako
HABARI ZA MICHEZO

Why most players in Tanzania play Aviator on Sportpesa

January 23, 2026January 23, 2026 ajirayako

Post navigation

Previous: Wasibweteke, Mashindano ya CHAN ni Fursa Kwa Wachezaji Wetu Kujitangaza
Next: TRANSFER NEWS: Kocha Fadlu Amesimamisha Baadhi ya Sajili Simba

Popular Posts

  • Dudu Baya Akinukisha Teana Baada ya Kuona Video ya Mkubwa Fela na Mkewe

  • Arsène Wenger “Africa Nzima ilikuwa Dhidi ya Morocco”

  • BREAKING; CAF Yamsimamisha Kazi Kocha wa Senegal

  • Rais Museveni wa Uganda Amteua Binti yake Bi. Natasha Museveni kuwa Gavana wa Benki Kuu

  • Yaya Touré “Nimependa Walichokifanya Senegal, Sijali Fairplay”

  • Pigo Kubwa Lililomkuta IshowSpeed Afrika

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.