Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Yanga Yapigwa Faini ya Milioni 5 Kariakoo Derby
HABARI ZA MICHEZO

Yanga Yapigwa Faini ya Milioni 5 Kariakoo Derby

March 7, 2026 Udaku Special

Klabu za Young Africans na Simba zimetozwa faini ya Sh. 5,000,000 (milioni tano) kila moja kwa kosa la walinzi wake kugombana na kutoleana lugha ya matusi, jambo lililozua taharuki na kuchafua taswira ya mchezo huo wakati klabu ya Simba ikiwasili uwanjani hapo.

Adhabu hii ni kwa mujibu wa Kanuni ya 47:1 ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa Klabu.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

‘Star Boy’ Allan Okello Atinga Kilele cha Pasi za Mabao Ligi Kuu

April 17, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Yanga Mtu Mbaya Sana, Waitandika Mabao 6 Mbeya City Bila Huruma

April 17, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Mkuu wa Quds Force wa Iran Adaiwa Kunyongwa Akituhumiwa Kuwa Jasusi wa Israel na Marekani
Next: Familia Yafichua Jinsi Walivyorejesha Amani Baada ya Mzozo wa Ardhi Mchungu Uliowagawanya Kwa Miaka Mingi

Popular Posts

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Abdalla mpemba Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Ukweli Uliojificha Kuhusu BANGI, Je Ina Madhara Kwa Binadamu?

  • Pata Tiba za Asili Kwa Matatizo Yanayokusumbua, Mapenzi, Nguvu za Kiume na Kisukari

  • Ukweli Kuhusu Kuwa Adolf Hitler Alikuwa na Korodani Moja

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.