Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA SIASA
  • CCM Wamteua Baba Levo Kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini
HABARI ZA SIASA

CCM Wamteua Baba Levo Kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini

August 23, 2025August 23, 2025 Udaku Special

Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa kimemteua Clayton Chiponda ‘Babalevo’ kuwa mgombea atakayepeperusha bendera ya chama hicho katika Jimbo la Kigoma Mjini mkoani Kigoma.

Hayo yamesemwa na Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi CPA Amos Makalla, akizungumza na wanahabari usiku wa Jumamosi Agosti 23, 2025 katika Makao Makuu ya CCM Dodoma.

Related Posts

HABARI ZA SIASA

Tundu Lissu Alalamika Kutopewa Chakula, Kesi Yahairishwa

February 12, 2026February 12, 2026 Udaku Special
HABARI ZA SIASA

Mwanasheria Mkuu wa Marekani Apewa Kibano Kikali na Wabunge Kuhusu Mafaili ya Epstein

February 12, 2026February 12, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: CCM Yamrudisha Ester Bulaya Kugombea Ubunge Jimbo la Bunda Mjini
Next: Esther Matiko Ateuliwa na CCM Kugombea Ubunge Tarime Mjini

Popular Posts

  • Hizi Hapa Hesabu Konki za Yanga Kufuzu Robo Fainali Klabu Bingwa

  • Mangungu Noma na Nusu Awajibu Wanaotaka Ajiuzulu

  • Uhasama Usioisha: Kwanini Donald Trump anamchukia sana Barack Obama

  • Kesi ya Tundu Lissu Yapigwa Kalenda Mpaka February 11

  • Tahadhari ya Mvua Kubwa Mikoa sita, Wananchi Watahadhirishwa Kukaa Kiaskari

  • Wekundu wa Msimbazi Simba Waumaliza Mwendo Ligi ya Mabingwa Afrika

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.